Yanga imefikisha pointi 10 baada ya kushinda mechi zake tatu na kutoa sare moja, ikiwarudisha Simba hadia nafasi ya pili ikiwa na pointi tisa, sawa na Pamba Jiji iliyo nafasi ya tatu.
RAHA ya mechi, mabao. Hicho ndicho kinachofanya mashabiki wengi kwenda kwenye viwanja vya soka, kutazama ufundi wa kutikisa ...
KOCHA Mkuu wa Mashujaa, Salum Mayanga amesema kikosi kinaendelea kuimarika na kutengeneza muunganiko ili kutoa ushindani ...
ASUBUHI ya kuamkia Ijumaa Novemba 15, 2025 tasnia ya muziki wa dansi ilipatwa na pigo la kuondokewa na mwanamuziki nguli, ...
KOCHA msaidizi wa Yanga Princess, Said Maulid ‘SMG’ amesema amepata uzoefu tofauti kuwafundisha timu za wanawake, lakini kitu ...
TAIFA Stars iliyo chini ya Kocha Miguel Gamondi leo Jumamosi itashuka uwanjani kwa mara ya kwanza kuvaana na Kuwait katika ...
CHAMA cha Soka Mkoa wa Ruvuma (FARU) kikishirikiana na wadau wa soka mkoani humo wapo katika hatua za mwisho kuifufua upya ...
ILE siku ndiyo leo. JKT Queens ina dakika 90 ngumu za kuamua hatma ya kwenda nusu fainali ya michuano ya Ligi ya Mabingwa ...
PAMOJA na kuanza vyema msimu mpya wa Ligi ya Championship, Kocha Mkuu wa Mbuni FC, Leonard Budeba amewataka nyota kutobweteka ...
HATIMAYE amekubali mambo yaishe. Ndiyo, kipa namba moja wa Simba, Moussa Camara amenyoosha mikono na kusitisha mgomo aliokuwa ...
MASHABIKI wa Azam FC walikuwa na hofu kubwa ya kumkosa kiungo mshambuliaji, Feisal Salum ‘Fei Toto’ aliyechomolewa timu ya ...