DAR ES SALAAM; YANGA imeibuka na ushindi wa mabao 4-1 dhidi ya KMC mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara uliofanyika leo Uwanja wa ...
In Swahili, “kibao cha mbuzi” literally means “goat’s board.”But in everyday use, it refers to a wooden coconut grater — a traditional kitchen tool found in many Swahili homes along the East African ...
ARUSHA: TAASISI ya Afrika ya Sayansi na Teknolojia ya Nelson Mandela (NM-AIST) imekabidhi vitendea kazi vya kompyuta 50 kwa ...
MTWARA: MKUU wa Wilaya ya Mtwara, Abdallah Mwaipaya amewataka wananchi wilayani humo kuendelea kushiriki michezo mbalimbali ...
ZANZIBAR: MWENYEKITI wa Chama cha Alliance for Change and Transparency (ACT Wazalendo) Taifa, Othman Masoud Othman amewataka ...
SHIRIKA la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Watoto (UNICEF) limetoa Sh milioni 185.429 kwa ajili ya kutekeleza mradi wa kulinda ...
DODOMA:WAZIRI Mkuu, Dk Mwigulu Nchemba amezielekeza hospitali zote nchini kuhakikisha wajawazito wanaofika hospitalini ...
TANGA: WAKAZI wa Kijiji cha Mseko, Idd Mohamed (55) na Huruma Mlengule (35) wamehukumiwa kwenda jela miaka 25 kwa hatia ya ...
TANZANIA ni miongoni mwa nchi zinazotarajia kunufaika na Dola za Marekani milioni 20 (sawa na Sh bilioni 48.9) kwa ajili ya ...
CONGO: TANZANIA imeunga mkono ajenda zote muhimu zilizojadiliwa katika Mkutano wa Tisa wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa ...
DODOMA: UAMUZI wa Rais Samia Suluhu Hassan kusamehe vijana waliofuata mkumbo na kushiriki vurugu zilizojitokeza wakati wa ...
DAR ES SALAAM: KUHIFADHI chakula kwenye jokofu ni njia bora ya kukilinda dhidi ya kuharibika na magonjwa yanayosababishwa na ...